ad

ad

TASWIRA KUTOKA NJE YA MAHAKAMA KUU DAR KABLA YA HUKUMU YA ZITTO


Polisi wakiwadhibiti wafuasi wa Zitto na wale wanaompinga nje ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar kabla ya hukumu kutolewa.
Wafuasi wa Zitto wakiwa na mabango.
Wanaompinga Zitto wakiwa na mabango yao nje ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.
Polisi wakituliza vurugu nje ya Mahakama Kuu leo.
Ulinzi ukiwa umeimarishwa katika mlango wa kuingia Mahakama Kuu leo.
Ulinzi mkali nje ya Viwanja vya Mahakama Kuu.
(PICHA NA MAKONGORO OGING' / GPL)
Powered by Blogger.