ad

ad

Taiya Odero apukutika, watu waanza maneno



MWIGIZAJI mwenye hisia kali wa Bongo Movies, Taiya Odero ambaye pia mtangazaji wa EATV, amekuwa akinyooshewa vidole kila kona baada ya kupukutika mwili ghafla huku mwenyewe akidai amepunguza msosi.
 
 Taiya amesema amekuwa akipata tabu kubwa kwa mtu ambaye hajaonana naye kwa muda mrefu ambaye lazima ashtuke akimuona na kudhani labda anaumwa kwani awali alikuwa na uzito wa kilo 78 ambazo zimeshuka hadi 63. 


“Watu hawajui tu, lakini ukweli ni kwamba, nilipunguza kulakula vitu vya mafuta na vingine ambavyo siyo vya muhimu kwenye mwili wangu,” alisema Taiya ambaye alifanya poa kupitia Sinema ya Sikitu

No comments

Powered by Blogger.