ad

ad

Clouds Fm Wamu aibisha Diamond Studio

Ni  Baada kutambulisha Ngoma Yake mpya  Aliyo Fanya Na Davido Yaani Ngololo remix kwa kukosea  nakupiga Ngoma Ya BALOBALO inayo Mtuhumu Diamondo Ameiba Mashairi Pamoja Na Beat.
Lakini Diamond Asanuka mapema na kusema "Mbona tunahaibishana"Clouds  kujitetea  kuwa Music Department imetoa Ngoma Isiyo sahihi..
 Baadae Diamond Aleweza Kutambulisha Poa Na Ikapigwa Fresh.
Powered by Blogger.