ad

ad

UEFA CHAMPIONS LEAGUE:Malaga 0 vs Borussia Dortmund 0.

Malaga 0 vs Borussia Dortmund 0 Malaga na Borussia Dortmund wametoshana nguvu usiku huu kwa kutofungana katika  dakika zote 90. Malaga wakiongoza kwa kupewa kadi 3 za njano na moja kwa Borussia Dortmun. Malaga wao wamecheza kulinda wasifungiwe kwao na pamoja na timu hiyo kukoswa koswa tangu dakika za mwamzo..Wachezaji wa Malaga wamecheza kwa kujituma sana na hatimaye mpira kuisha 0-0.

On the back foot: Borussia Dortmund's Felipe Santana reaches for the ball
Mchezaji wa Borussia Dortmund Felipe Santana akipambana kuokoa  mpira mbele yake Collision course: Dortmund's Kevin Grosskreutz was booked for a sliding tackle on Malaga's Jesus Gamez
Composed: Borussia Dortmund boss Jurgen Klopp looks on from the touchline at La Rosaleda
Kocha wa Borussia Dortmund Jurgen Klopp akicheki vijana wake wakimenyana na Malaga kwenye kiwanja Malaga La Rosaleda
Powered by Blogger.