ad

ad

Davina akanusha kuchepuka



Staa kutoka Bongo Muvi, Halima Yahaya ‘Davina’.

STAA kutoka Bongo Muvi, Halima Yahaya ‘Davina’ amekanusha tetesi zinazozagaa kuwa, kwa vile hayuko kwenye ndoa basi atakuwa anachepuka na kuwajibu wanaozieneza kuwa hayupo hivyo na kwamba anaweza kuishi bila kufikiria mapenzi na watoto wake wanamtosha.

No comments

Powered by Blogger.