David Kafulila Ajiondoa Chadema
MBUNGE wa zamani wa Jimbo la Kigoma Kusini (2010-2015), David
Kafulila amejivua uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(Chadema), kutokana na kutokuwa na imani na upinzani katika kupambana na
ufisadi
Kafulila aliwahi kuwa mwanachama wa NCCR-Mageuzi na kushinda nafasi ya ubungewa jimbo hilo na alikuwa ndiye mbunge aliyeongoza suala la utafunaji wa fedha za Escrow, fedha ambazo ziligawanywa kwa watu wa matabaka mbalimbali serikalini na maeneo mengine.
Kafulila aliwahi kuwa mwanachama wa NCCR-Mageuzi na kushinda nafasi ya ubungewa jimbo hilo na alikuwa ndiye mbunge aliyeongoza suala la utafunaji wa fedha za Escrow, fedha ambazo ziligawanywa kwa watu wa matabaka mbalimbali serikalini na maeneo mengine.
Katika uchaguzi uliopita, Kafulila aligombea tena ubunge lakini
alishindwa na alipofungua kesi kupinga matokeo hayo bado alishindwa
mahakamani. Hii hapa chini ndo barua yake.
Post a Comment