Timu ya Simba imeibuka na ushindi wa bao 2 kwa 0 dhidi ya Simba kwenye mechi ya #NaniMtaniJembe2 .Magoli ya simba yamefungwa na Awadh Juma na Elias Maguri nakuwafanya Simba watoke kifua mbele.
Hii ni mara ya pili Simba wanashinda #MtaniJembe, Mwaka jana walishinda kwa bao 3 -1 dhidi ya Yanga.
Post a Comment