ad

ad

LUCY TOMEKA NDIYE REDD'S MISS DAR INDIAN OCEAN.

             Mshindi wa Redds Miss Dar Indian 2013, Lucy Tomeka, katika pozi la ushindi.
                                      Warembo walioingia Tano Bora wakiwa katika pozi.
                                                            Warembo wakionesha shoo jukwaani.
  Majaji wa shindano hilo, Mboni Masimba, Martin Kadinda, Vivian na Sebo wakiwafuatilia washiriki (hawapo pichani).
 Tatu Bora walikuwa ni:  Linda Joseph, Lucy Tomeka na Sophia Yusuf wakiwa katika picha ya pamoja.
Powered by Blogger.