Ligi Ya Mabingwa Ulaya Kuendelea Leo, Ratiba Ipo Hapa
Michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya inatarajiwa kuendelea leo Jumanne na kesho Jumatano ikiwa ni hatua ya makundi ambapo kutakuwa na michezo mbalimbali.
Mabingwa watetezi, Real Madrid wanatarajiwa kuwa ugenini kukipiga dhidi ya APOEL ya nchini Cyprus huku Madrid wakimkosa nahodha wao Sergio Ramos ambaye ni majeruhi.
Wapinzani hao wa Madrid hawajashinda mchezo hata mmoja katik Kundi H, hivyo mchezo huo unatarajiwa kuwa mwepesi kwa Madrid ambao wanahitaji ushindi baada ya kutokuwa na matokeo mazuri katika mechi za hivi karibuni.
Mechi za leo Jumanne katika Uefa Champions League
BeÅŸiktaÅŸ v Porto
Spartak Moskva v Maribor
Borussia Dortmund v Tottenham Hotspur
Napoli v Shakhtar Donetsk
Sevilla v Liverpool
APOEL v Real Madrid
Manchester City v Feyenoord
Monaco v RB Leipzig
Mechi za kesho Jumatano katika Uefa Champions League
CSKA MoskvavBenfica
QarabaÄŸvChelsea
JuventusvBarcelona
Basel v Manchester United
Anderlecht v Bayern München
Sporting CP v Olympiakos Piraeus
Atlético Madrid v Roma
PSG v Celtic
Mabingwa watetezi, Real Madrid wanatarajiwa kuwa ugenini kukipiga dhidi ya APOEL ya nchini Cyprus huku Madrid wakimkosa nahodha wao Sergio Ramos ambaye ni majeruhi.
Wapinzani hao wa Madrid hawajashinda mchezo hata mmoja katik Kundi H, hivyo mchezo huo unatarajiwa kuwa mwepesi kwa Madrid ambao wanahitaji ushindi baada ya kutokuwa na matokeo mazuri katika mechi za hivi karibuni.
Mechi za leo Jumanne katika Uefa Champions League
BeÅŸiktaÅŸ v Porto
Spartak Moskva v Maribor
Borussia Dortmund v Tottenham Hotspur
Napoli v Shakhtar Donetsk
Sevilla v Liverpool
APOEL v Real Madrid
Manchester City v Feyenoord
Monaco v RB Leipzig
Mechi za kesho Jumatano katika Uefa Champions League
CSKA MoskvavBenfica
QarabaÄŸvChelsea
JuventusvBarcelona
Basel v Manchester United
Anderlecht v Bayern München
Sporting CP v Olympiakos Piraeus
Atlético Madrid v Roma
PSG v Celtic
Post a Comment