ad

ad

Warembo walioshiriki Miss Ustawi wa Jamii 2017, Wakiwa katika Mapozi


Warembo watakaojimwaga siku hiyo ni  Ruth Deouratius ,Melody  Thomas, Elizabeth Julius, Careen Kileo, Loyce Jeck ,Diana Wambura  , Angela  Milanzi pamoja na Elice Mwakajila .
Warembo wakiwa katika picha ya pamoja kwa pozi mbalimbali watavyokwenda katika kinyanganyilo hicho kitachofanyika Mei 19 katika ukumbi wa King Solomon jijini Dar es Salaam.

No comments

Powered by Blogger.