Penny, Siza wanaswa kimahaba
WATANGAZAJI wa Shindano la Bongo Star Search, Penniel Mungilwa ‘Penny’ na Siza Daniel wamenaswa wakioneshana mahaba hadharani kama mtu na ‘bebi’ wake.
Wawili hao baada ya kupigwa picha na paparazi wetu na kuwauliza kama ni wapenzi, Siza alishindwa kuzungumza lolote lakini Penny alipoulizwa kama jamaa huyo ndiye mrithi wa Diamond (Nasibu Abdul), alijibu kwa kifupi:
“Jamani kusoma hujui hata picha huoni?”
“Jamani kusoma hujui hata picha huoni?”

Post a Comment