ad

ad

TMA PRESS CONFERENCE 31-DESEMBA 2014, JUMANNE SAA TANO ASUBUHI‏


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
YAH: TAARIFA YA MWELEKEO WA HALI YA HEWA KWA MWEZI JANUARI NA FEBRUARI 2014
Tafadhali husika na somo tajwa hapo juu.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania atatoa taarifa ya mwelekeo wa hali ya hewa kwa mwezi Januari na Februari 2014. Taarifa hiyo itatolewa kwa vyombo vya habari Jumanne tarehe 31 Desemba 2013, saa 5 (tano) asubuhi, katika ofisi za Makao Makuu ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania zilizopo kwenye jengo la Ubungo Plaza, Barabara ya Morogoro, kwenye ukumbi wa mikutano, ghorofa ya tatu. Tafadhali usikose kuhudhuria ukiwa kama mdau mkubwa wa hali ya hewa nchini.
Powered by Blogger.