ad

ad

MSANII WA BONGO FLAVA 'CHRISS DUNIA' KUTOKA ARUSHA KUWASHIKA MASHABIKI


                                                                     CHRISS DUNIA
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, maarufu bongo fleva   anatarajia kuachia moja kati ya nyimbo zake kali alizorekodi  MJ RECORD Dar-es-salaam. Msanii huyo anayetokea jijini Arusha ataachia wimbo wake mmoja kati ya nyimbo 2 alizofanya katika Studio hiyo ya Magwiji wa kuandaa nyimbo zinazobamba zaidi nchini Tanzania na Africa mashariki na kati na Africa kwa ujumla.
                                                                                 Chriss Dunia.
Nyimbo hizo ni TALANTA na mwingine unaokwenda kwa jina la SICHOKI KUKUITA NJOO. Ni nyimbo kali ambazo Zote zimefanyika MJ RECORD Chini ya Producer Marco Chali, Wimbo huu wa 2 bado ukiwa bado unaendelea kumaliziwa uko kwenye hatua za mwisho, ndipo atapima upi auchie wa kwanza.
Fuata link hapa chini kusikiliza wimbo wake wa R. CHUGA
www.2jiachie.com/2013/02/sikiliza-wimbo-wa-rchuga-yetu-wa-criss.html
                                                              Picha ya Chriss
Chiss ambae ana nyimbo kadhaa ambazo zilishasikika kwenye vituo mbalimbali vya redio nchini Tanzania na hata nje ya nchi sasa hivi anakuja kivingine akiwa chini ya usimamizi wa Label ya 2jiachie music
Msanii huyo anaetokea jiji la Arusha atarajia kuanza kufanya show baada tu ya kuachia nyimbo hiyo.
                                        
Chriss amewaomba mashabiki wake kuendelea kumpa support na ameahidi kutowaangusha kwa amerudi kikazi zaidi.
Sikiliza wimbo wake wa R. CHUGA Hapahapa www.2jiachie.com wimbo aliouimba kama intro wa kuonyesha kwamba yuko fiti na yupo kwenye game  kitambo. Na pia alikuwa na lengo la kuwaweka sawa mashabiki wake.
Fuata link hapa chini kusikiliza wimbo wake wa R. CHUGA
www.2jiachie.com/2013/02/sikiliza-wimbo-wa-rchuga-yetu-wa-criss.html
Powered by Blogger.