ad

ad

Lissu: Usalama wa Taifa wanatengeneza Ushahidi kwa ajili ya kesi ya Lwakatare

Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa CHADEMA,Tundu Lissu amesema chama  chake kimenasa taarifa za Usalama wa Taifa wakijaribu kuwarubuni vijana wa Chadema ili wawe mashahidi katika kesi inayomkabili Lwakatare. Pia Lissu amesema wamenasa taarifa za M-PESA za kijana Ludovick Joseph ambapo taarifa hizo zinaonyesha kwamba kijana huyo amekuwa akipokea fedha kwa njia ya M-PESA kutokakwa  Mwigulu Nchemba. 
Powered by Blogger.