Penny: Sijaolewa, Nafasi Ipo Wazi!
MTANGAZAJI
wa kipindi cha Harusini kinachorushwa kupitia Magic Swahili, Pennieli
Mungwila ‘Penny’ amefungukia vazi la harusi alilovaa na kuwaacha watu
kwenye sintofahamu kuwa hajaolewa na kwamba nafasi bado iko wazi.
Akizungumza na Star Mix, Penny alisema kuwa, gauni alilovaa ni kwa ajili tu ya kurekodi kipindi chake na sio kwamba ilikuwa ni harusi yake ya ukweli kama watu wengi walivyodhani.
“Jamani nisije kukosa mume bure, gauni lile nilivaa kwa ajili ya kazi tu na si kwamba nilikuwa naolewa kweli kama watu walivyodhani,” alisema Penny
Akizungumza na Star Mix, Penny alisema kuwa, gauni alilovaa ni kwa ajili tu ya kurekodi kipindi chake na sio kwamba ilikuwa ni harusi yake ya ukweli kama watu wengi walivyodhani.
“Jamani nisije kukosa mume bure, gauni lile nilivaa kwa ajili ya kazi tu na si kwamba nilikuwa naolewa kweli kama watu walivyodhani,” alisema Penny
Post a Comment