KESI inayomkabili msanii wa filamu nchini, Wema Sepetu, kuhusiana na
madawa ya kulevya imeahirishwa hadi Desemba 14 mwaka huu kutokana na
msanii huyu kufiwa na ndugu yake.
Hata hivyo, mama yake alifika
mahakamani hapo. Kesi hiyo inasikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Post a Comment