ad

ad

Pichaz: Ujio wa Mpya wa Wema Sepetu Instagram, Afunguka Haya

Staa mwenye jina kubwa hapa bongo,Wema Sepetu kwa mara ya kwanza mkwa huu, ameweka post yake ya kwanza kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram, baada kufuta post zote kwenye ukurasa wake huo wenye followers zaidi ya  milioni mbili na nusu hapo mwezi Desemba mwaka jana.



No comments

Powered by Blogger.