ad

ad

Video: Baada ya kuitwa nyani, Hamorapa atoa maneno mazito kwa Iyobo

Moses-Iyobo-at-Jembeka-Festival-2016
Mose Iyobo, Dancer Kiongozi wa WCB ya Diamond Platnumz.
DANSA mashuhuri kutoka lebo kubwa Bongo ya Wasafi Classic Baby (WCB) ambaye pia ni mzazi mwenza wa Anti Ezekiel, Mose Iyobo, amefunguka kupitia mtandao wa ‘Tweeter’ wa  Hamis Mandi Mtangazaji wa XXL ya Clouds FM baada ya Bdozen ‘Hamis’ kuweka picha akiwa na mtafiti wa wa Nyani (Sokwe) duniani, Jane Goodall, ambapo (Iyobo) alimtaka mtafiti huyo apewe taarifa za uwepo wa nyani mwingine aitwaye Harmorapa.
“Duh, noma sana ila mwambie kuna nyani anaitwa Harmolapa,  angekuja kumfanyia utafiti na kujua tabia zake angetisha sana,” aliandika Mose Iyobo miongoni mwa Tweets za post hiyo.
 hamis-mandi
Hamis Mandi (kulia) na Mchunguzi wa Nyani duniani, Jane Goodall.
Haijafahamika sababu ya Iyobo kumuita hivyo Harmorapa jina la mnyama, kitendo kinachotafsiriwa kama ni dharau au huenda ipo tofauti kati yao.harmo-rapa-1
Hamorapa, dogo aliyefananishwa na nyani.

No comments

Powered by Blogger.