ad

ad

APOEL NICOSIA 0-4 BARCELONA, MESSI AFIKISHA MABAO 74 LIGI YA MABINGWA

 Barcelona's players show their support for the La Masia graduate, who was made captain for the night in Cyprus
 

MSHAMBULIAJI Lionel Messi amevunja rekodi ya mabao Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kufunga hat-trick jana katika ushindi wa 4-0 dhidi ya APOEL mjini Nicosia na kufikisha jumla ya mabao 74 kwenye michuano hiyo.
The La Liga side's two goal scorers celebrate together  during their comfortable win against the Cypriot side

Nyota huyo wa Barcelona alimfikia mchezaji aliyekuwa anaongoza, Raul baada ya kufunga mabao mawili dhidi ya Ajax mapema Novemba, lakini mabao yake matatu ya jana yanamfanya awapiku wote.
Akizungumza na Waandishi wa Habari baada ya mechi Messi amesema: "Nina furaha sana kuvunja rekodi hususan katika mashindano muhimu kama haya, lakini huu ulikuwa mchezo mkubwa kwetu mbali na rekodi zote,"amesema.

 APOEL's Carlao challenges Uruguayan forward Suarez for the ball and slaps him in the mouth in the process
After using all their flares, APOEL fans showed their support with their scarves and vocal cords

No comments

Powered by Blogger.