ad

ad

TOROJO BAMIA (Winga teleza) - 18


Mara mlango ulifunguliwa na kujikuta akitazamana uso kwa uso na Shuku aliyekuwa kwenye vazi la bukta kifua wazi. Shuku alipomuona Lily hakushtuka alimkaribisha ndani. Lakini Lily alijikuta akishika mkono kifuani kwa mshtuko.
“Karibu,” Shuku alimkaribisha.
“Asante Shuku nimekaribia.”
Shuku alimwacha Lily aingie ndani na kufunga mlango kisha aligeuka na kumkuta tayari mgeni wake amekaa kwenye sofa. Lily baada ya kukaa alizungusha macho katika sebule iliyokuwa na kila kitu kwa matumizi ya mwanadamu.
Lily bado alikuwa na maswali mengi kichwani kuhusiana na vitu alivyoviona sebuleni pia nyumba ilikuwa ikitumia kiyoyozi. Wazo lake aliamini kabisa pale Shuku atakuwa anatunzwa na mtu na wala si kwake.
Wakati wakiwa kwenye maswali yasiyo na majibu, Shuku alimuaga na kwenda chumbani mara moja na kumfanya Lily kuwa na uhuru wa kufanya uchunguzi wa kina.
Macho yake yalipatwa na mshtuko baada ya kuona picha kubwa ya Shuku ikiwa ukutani kuonesha yeye ndiye mwenye nyumba. Lakini bado hakuamini mawazo yake huenda kaachiwa nyumba mwenye mji yupo nje ya nchi.
Baada ya muda Shuku alirudi sebuleni na kumuuliza mgeni.
“Mgeni unatumia kinywaji gani?”
“Chochote utakacho nichagulia wewe mwenyeji wangu.”
Shuku hakujibu kitu alikwenda kwenye friji na kumletea takira na kumfanya Lily ashtuke.
“Shuku hii ya nani?”
“Si umesema nikuchagulie kinywaji, unashangaa nini, au nimekosea?”
“Shuku hiki ndiyo kinywaji changu kimefikaje kwako?”
“Sasa huo ugomvi, kwani kinywaji hiki kimetengenezwa kwa ajili yako tu?”
“Hapana, lakini najua hunywi kinywaji hiki kimefikaje kwenye friji yako.”
“Ni kweli sinywi, lakini nyumba yangu inatembelewa na wageni wengi hivyo najitahidi kuweka vinywaji vingi. Ili ukija kama wewe basi upate kinywaji chako.”
“Hapana Shuku una mwanamke anayekunywa kinywaji hiki.”
“Sina.”
“Unanidanganya Shuku una mwanamke mwingine,” Lily aliangua kilio cha wivu.
“Sasa Lily hata kama ningekuwa na mwanamke wewe anakuhusu nini?”
“Sikubali Shuku wewe bado mpenzi wangu sikubali mwanamke mwingine akuchukue.”
“Kwa taarifa yako, sina mwanamke wala wewe huna nafasi tena kwangu.”
“Shukuu, sikubali. Kumbe MJ alinidanganya na kusababisha tuachane.”
“Kwani nilikufuata kukulilia?”
“Hapana najua nimekukosea Shuku wangu, nahitaji kurudi kwako, nimeisha jua mbaya wetu, hata shoga zangu walinieleza MJ si mwanaume bali muharibifu.”
“Muharibifu vipi wakati kakununulia nyumba na magari ya kifahari?”
“Lakini hana upendo ambao kwako nimeamini upo ambao nitaupigania kwa nguvu zangu zote hata kufa, lakini nikurudishe mikononi mwangu." ”Lily mbona umechelewa.”
“Nimechelewa kivipi?”
“Mimi nimeishaoa." ”Etiii nini Shukuuu! Mungu wangu nakufa," kauli ile ilimfanya Lily aanguke chini na kupoteza fahamu.
Shuku alishtuka kumuona Lily akianguka kama mzigo, alipomsogelea aligundua amepoteza fahamu. Alijalibu kumpa huduma ya kwanza ambayo ilikuwa mtihani kwani wakati wa kumhudumia Lily alikuwa ametandaza miguu na gauni lake fupi kupanda juu na kuyafanya mapaja kuwa wazi na njia ya kuelekea ikulu ilikuwa ipo wazi.
Jicho la Shuku lilipotua kwenye mapaja laini ya Lily alijikuta akimeza funda la mate ya hamu na kuendelea kumuhudumia. Baada ya muda Lily alirudiwa na fahamu.
“Vipi?” Shuku alimuuliza akiwa amemshika kichwani.
“Safi,” Lily alijibu kwa sauti ya chini huku akimuangalia kwa jicho la kuihitaji huruma.
“Tatizo nini?”
“Naomba kwanza uniingize chumbani nilale.”
“Kwani unajisikiaje?”
“Mwili umechoka sana mpenzi wangu.”
Kauli ya kuitwa mpenzi japokuwa Shuku hakuipenda lakini hakuwa na jinsi kwa vile alitaka Lily awe kwenye hali nzuri.
“Lily twende hospitali.”
“Ukinipeleka hospitali nitakufa.”
“Hapana utapata tiba nzuri.”
“Shuku kabla ya kunipeleka hospitali naomba ninale kidogo.”
“Kwa vile hapa sebuleni kuna upepo mzuri lala hapo kwenye kochi.”
“Shuku nasikia joto sana.”
“Nikusogezee feni?”
“Hapana nataka nijimwagie maji.”
“Bafu lipo huko,” Shuku alimuonesha bafu kwa kidole.
Lily baada ya kufanikiwa kumdanganya Shuku amepoteza fahamu, alijifanya kujinyanyua kwa shida. Shuku alimsogelea na kuingiza mkono chini ya kwapa na kumsaidia kumshikilia. Walitembea taratibu huku Lily amekilaza kichwa kwenye kifua cha Shuku ana kutonga kama mtu anayeumwa sana.
Shuku alimfikisha nje ya bafu na kumweleza aingie.
“Lily ingia uoge mi nipo sebuleni.”
“Hapana shuku naomba unishikilie nijimwagie maji.”
“Sasa utaogaje nami nipo?”
“Shuku kipi kigeni kwako katika mwili wangu, hebu nisaidie bwana.”
Shuku hakuwa na jinsi aliingia naye bafuni, Lily aliamini ile ndiyo sehemu ya kuhakikisha anabakia kwa Shuku baada ya kuliona penzi lake lilikuwa halina maisha. Kwa makusudi alizidondosha nguo kwenye maji.
“Mungu wangu, sasa itakuwaje?” Lily alijifanya kushtuka.
“Lily hebu jimwagie kwanza maji ili kuupa nguvu mwili.”
Lily aliamalizia kufuli na mkanda na kufanya mambo yawe wazi kama jua la mchana linavyoangaza pembe zote za dunia.
Shuku alizidi kumeza mate ya uchu huku akijikaza kuhakikisha hafanyi lolote kwa Lily. Lakini katika kambi yake ya jeshi hali ilikuwa mbaya baada ya kamanda mkuu kutaka kutoka nje ya kambi baada ya kuona anafanyiwa dhihaka.
Lily alijifanya hana hata nguvu za kufungua bomba.
“Shuku nifungulie maji.”
Shuku wakati akifungua maji Lily aliteremka chini na kuingiza mkono kwenye kichaka na kumtoa nyoka aliyekuwa na hasira. Shuku alishtuka lakini alikuwa amechelewa kwani tayari Lily alianza kuchana mistari kwa ufasaha zaidi kwa vile maiki ile alikuwa ameizoea. Alijikuta akibembea juu kwa kwa juu kama shati lililo juu ya enga.
Lily suala na kujimwagia maji aliliweka pembeni na kuhakikisha mpaka wanatoka bafuni penzi lake lizaliwe upya.
“A..a..shiiii! Lily,” Shuku alitatalika huku amekishika kichwa cha Lily kama mpiga ngoma kujikuta akimwaga uno la juujuu. Ghafla Shuku aliwasikia wazungu walisogea kwa mbali na kujikuta akichanganya miguu kama mtu anayetaka kufumua shuti kali.
Kwa haraka Lily aliitoa maiki mdomoni na kuuingia mwiko kwenye chungu. Kwa vile mchicha ulikuwa umekolea nazi, Shuku alijikuta akipiga mikono minne ya kasia na chombo kufika pwani.
Kwa vile Shuku alikuwa na nguvu pia ugwadu wa muda mrefu alijikuta akipiga two in one (mbili kwa moja) watoto wa mjini wanasema mumo kwa mumo.
Lily naye alikuwa kama samaki aliyekuwa akitatafuta maji kwa muda mrefu siku ile alikuwa ameyapata. Moyoni alijiapiza mpaka wanatoka bafuni lazima Shuku amrudishe mikononi mwake. Mtoto wa kike alijituma, kila kasia zilivyokuwa zikipigwa ndivyo wazimu ulivyompanda. Mikono alishika kichwani na kuinama kama anatafuta kitu alichokidondosha chini alijipindua nyuma kama nge aliyepandwa na hasira anamvizia mtu kumgonga na kuiacha nyonga laini ifanye kazi.
Shuku alishangazwa na kujiuliza mara mbilimbili, Lily ana mfupa au kafunga feni. Walijikuta wakienda sambamba kila mtu akiwa na hamu na mwenzake baada ya kumkosa kwa muda mrefu.
Lily aliamini mkunaji wa upele wake unamsumbia toka alipokuwa na MJ alikuwa amerudi. Shuku naye baada ya kutoa kipigo cha pweza alikumbuka mtu anayempa shuruba nzito ametoka kwenye ugonjwa.
Alijikuta akipunguza kasi kitu kilichomshtua Lily na kulalamika.
“Shukuuu unafanya niniii?”
“Lily si unaumwa?”
“Utaniudhi! Nani kakwambia mi naumwa? Hebu nipe raha zangu zimezikosa muda mrefu.”
Mwanaume hakutaka kulemba tena, siku zote mtoto hatishiwi ubwabwa ndicho chakula anachokipenda. Chombo kikarudishwa kwenye maji na kupiga kasia mtindo mmoja mpaka walipojikuta wakiangukiana baada ya kila mmoja miguu kupoteza uwezo wa kusimama kwa muda mrefu. Kwa vile ulikuwa mpambano wa kushtukiza, baada ya kuoga walirudi ndani na kupanda kitandani kujipumzusha na kujikuta wakipitiwa usingizi mzito.
Wa kwanza kuamka alikuwa Lily, bado hakuamini kama kweli Shuku ameoa, ili kupata uhakika alianza kupekua kwenye kabati iliyokuwa wazi.
Alichambua kwenye nguo labda atakuta nguo za kike, lakini hakuona kitu. Alichukua albam na kuangalia picha na kushangaa kukuta picha zake na Shuku za zamani wala hakukuwa na picha za mwanamke mwingine pia kulikuwa na picha alizopiga Shuku akiwa shamba alipokuwa akienda kukusanya mazao.
Baada ya kufanya upekuzi wake uliochukua chini ya dakika kumi bila kuona alichokikusudia. Alijikuta akijiuliza huyo mwanamke aliyemuoa Shuku yupo wapi na mbona hakuna picha wala nguo zake na kwa nini picha zake iwepo kwenye albam ya Shuku na si ya huyu mwanamke wake.
Alijikuta akikosa jibu la moja kwa moja, kuwepo kwa picha zake ilionesha Shuku bado ana mapenzi na yeye lakini mbona kamwambia ameishaoa? Alijikuta akichanganyikiwa na kushindwa kuelewa hatima yake kwa Shuku.
Alijiuliza akiamka atamwambia nini ikiwa tayari amemtamkia ameoa. Alirudi kitandani na kukaa pembeni ya Shuku aliyekuwa bado amepitiwa na usingizi baada ya shambulizi ya kushtukiza lililomchosha sana.
Lily alianza kulia kilio cha sauti ya chini iliyomshtua Shuku kwenye usingizi.
Aliposhtuka na kumukuta Lily amekaa kitandani akilia, aliuliza.
“Lily unalia nini?”
“Najua nitakufa Shuku.”
“Utakufa! Kivipi?”
“Utaniua wewe Shuku.”
“Mimi nikuue wewe! Kivipi?”
“Hunipendi.”
“Mimi na wewe nani hampendi mwenzake?”
“Wewe Shuku, kwa nini kila mara unapenda kunidanganya?”
“Kukudanganya kivipi?”
“Shuku huna mwanamke.”
“Nani kakwambia?”
“Shuku nimekufuatilia muda mrefu ndiyo maana hata wewe kukubali kufanya mapenzi na mimi ulijua huna mtu.”
“Hiyo siyo sababu.”
“Shuku kweli huna mwanamke, nakuapia hapa sitoki tena, mi ndo nimefika,” Lily alisema huku akijilaza juu ya Shuku ambaye hakupata nafasi ya kuzungumza kitu.
Mtoto wa kike akaanza utundu uliomfanya Shuku asisimke kwa vile alikuwa na ugwadu wa muda mrefu, chombo hakukichelewa kukolea moto.
Mtanange wa bafuni japokuwa palichimbika bila jembe lakini ilikuwa kama kupasha moto mwili. Mchezo ulihamia kwenye uwanja wa vita wa sita kwa sita.
Lily alimkalia juu Shuku na kuanza kufanya utundu uliomdanya aliruke kama kalalia siafu.
Alijiteremsha kuufuata mdomo wa Shuku ambao aliupata na kuifanya igandane,
Shuku naye alitii amri kwani sumu ya hamu ilikuwa imemtawala mwili mzima naye alipitisha mkono shingoni kwa Lily na kumvutia kwake na kuanza kubadilishana mate.
Kwa umbile na uwezo wa Lily ulimfanya Shuku asahau maudhi yote ya zamani ya mpenzi wake. Lily alimpindua Shuku na yeye kuwa chini na kuikutanisha miguu yake mgongoni kwa Shuku kama mtoto wa nyani.
Kama kawaida Lily alikanyaga mpira na kumfanya Shuku autafute kwa muda kwa muda mfupi. Hakuchelewa kuupata alipoupata naye akajibu mashambulizi kwa pasi fupifupi zilizomfanya Lily alalamike.
“Jamani Shuku mpenzi wangu siyo hivyoo au hufurahii kuwa na mimi.”
“Nafurahia mpenzi wangu.”
“Sasa mbona unanibania nipe raha zangu nilimezikosa muda mrefu.”
Mtoto wa kike alilipandisha jicho pumzi zilimtoka kwa shida chini nyonga ilifanya kazi kama nyoka anavyosafiri kwenye majani.
Aliamini hakuna njia nyingine ya kujirudisha kwa Shuku ni kumpa penzi shatashata lisilochanganywa na maji. Shuku aliyekuwa kama mbwa kwa chatu anapokutana na Lily naye aliyeuanza mchezo kwa kusuasua alirudi mchezoni.
Alianza kutandaza soka safi huku akitawala sehemu ya kiungo na kumfanya Lily autafute muda wote. Baada ya Lily kupata kipigo cha pweza alijikuta akitoa siri ya MJ.
Shuku alimchanganya Lily na mtindo wa Punzu magulu remix. Alijikuta akihama katika dunia aliyoizoea na kujikuta akitokwa na maneno kama mvua.
“Shuuuukuuu aashiii, unajuaaa, Shuku unajuaaa. Shuku niliota kutu kupakwa shombo na MJ leo chuma kimapata msasa safishaaa mpenziii.”
Lily alilalama huku akiiachia nyonga izungumze na Shuku naye alikuwa amemisi maini ya Lily kwa muda mrefu mwiko ulifanya kazi ya kuyageuza kwa mahiri mkubwa. Alijigeuzia atakavyo, mpaka wanakwenda mapumziko Lily alikuwa ndwembwendembwe.
Baada ya mpambano wa kukata na shoka Lily aliangua kilio kilichomshtua Shuku.
“Lily unalia nini?”
“Kwa nini ulinidanganya?”
“Kukudanganya kivipi?”
“Kwa nini hukuniambia ukweli mwanzo wa penzi letu?”
“Nilijua nitakukosa, Lily nilikuwa nakupenda sana.”
“Kwa hiyo sasa hivi unipendi?”
“Narudi mimi na wewe nani hampendi mwenzake?”
“Wewe.”
ITAENDELEA KESHO HAPAHAPA

KAMA ULIKOSA SEHEMU ZA NYUMA SOMAHAPA
SOMA SEHEU YA KWANZA >>>www.2jiachie.com/2014/06/torojo-bamia-winga-teleza-01.html
SEHEMU YA 2: ==>www.2jiachie.com/2014/06/torojo-bamia-winga-teleza-02.html
SEHEMU YA 3:==>www.2jiachie.com/2014/06/torojo-bamia-winga-teleza-03.html
SEHEMU YA 4:==>www.2jiachie.com/2014/06/torojo-bamia-winga-teleza-04.html
SEHEMU YA 5==>www.2jiachie.com/2014/06/torojo-bamia-winga-teleza-05.html
SEHEMU YA 6: ==>www.2jiachie.com/2014/06/torojo-bamia-winga-teleza-06.html
SEHEMU YA 7==>www.2jiachie.com/2014/06/torojo-bamia-winga-teleza-07.htm
SEHEMU YA 8==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-08.html
SEHEMU YA 9==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-09.html
SEHEMU YA 10 ==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-10.html
SEHEMU YA 11 ==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-11.html
SEHEMU YA 12 ==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-12.html
SEHEMU YA 13 ==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-13.html
SEHEMU YA 14 ==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-14.html
SEHEMU YA 15 ==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-15.html
SEHEMU YA 16 ==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-16.html
SEHEMU YA 17 ==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-17.html

:: SHARE nyingi na COMMENT bila kusahau LIKE ndizo zinafanya Chombezo hili kuwa likitoka kila siku na kwa muda muafaka

hapa www.facebook.com/2jiachie pekee.

Hakika si ya kukosa hii.

Wanaotakiwa kusoma chombezo hili ni kuanzia +18 tu!
Hairuhusiwi kunakili. Au kutoa hata neno kuhamishia kwenye kitabu,tamthiliya ama wall ya facebook,twitter,whatsapp na sehemu nyingine pasipo idhini ya 2JIAHIE bu,tamthiliya ama wall ya facebook,twitter,whatsapp na sehemu nyingine pasipo idhini ya 2JIAHIE

No comments

Powered by Blogger.