ad

ad

BETHIDEI’ PATI YA BATULI FULL MARAHA





Batuli akilishwa keki na msanii wa Bongo Fleva, Tundamani.
Shetta akilishwa keki na Batuli.
Batuli akiwashiwa mishumaa muda mfupi kabla ya kukata keki hiyo.
Keki ya ‘Bethidei’ hiyo ikiwa mezani kabla ya kukatwakatwa.
Baadhi ya vinywaji vilivyokuwa kwenye shughuli hiyo.
Marafiki wa Batuli wakimchafua kwa keki.
Mastaa wenzake wakiwa kwenye meza.
Nisha, Chuchu Hansi na Asha Bui wakiwa mezani tayari kwa kugonga msosi.
Shamsa Ford katika pozi.
Baadhi ya wageni waalikwa waliohudhuria kwenye pati hiyo.
USIKU wa kuamkia leo ilikuwa ni sherehe ya kuzaliwa kwa msanii wa Filamu Bongo, Batuli ambayo ilifanyika ndani ya Ukumbi wa Amool Hoteli iliyopo Sinza Lion jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na mastaa wenzake kibao.
                                                    Habari/Picha: Musa Mateja/GPL
Powered by Blogger.