ad

ad

UUUUUUUIIIIIIIIII MBAVU ZANGU JAMANI.

Masai alipeleka redio yake kwa fundi, ilipofunguliwa ili itengenezwe, wakatoka mende weeengi, masai alivyoona hivyo akamwambia fundi ''KAMATA HAO WATANGASAJI WANAISIA..., Teh! Teh! teh!  fundi akashindwa kuwakamata, masai  akamuuliza  fundi  sasa natengenesa nini wale tangazaji pengine ndio iliyokuwa inagombana ndio maana ilikuwa inapiga kelele. ingekamata ili tujue inagombania nini.  fundi kashindwa kuvumili  na kuanza kucheka masai akajua kuna baadhi wamebaki, akamuuliza fundi vipi  imebaki ngapi. hata ikibaki moja  tuu ya  taarifa  habari natosho kwa leo.   teh teh  teh teh teh..
Powered by Blogger.