SERENGETI FIESTA YAFUNIKA MKOANI TANGA PICHA ZIKO HAPA
Mshindi wa Serengeti Super nyota 2013, Edo Boy akifungua burudani.
Young killer akikonga nyoyo za mashabiki katika Tamasha la Fiesta usiku wa kuamkia leo.
Mr. Blue akiwapagawisha washabiki jukwaani katika tamasha hilo.
…Linnah naye akilishambulia jukwaa.
Ruge akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Tanga kwenye Tamasha la Serengeti Fiesta.
Ruge akizungumza jambo na Mkuu wa Wilaya, Halima Omar Dendegu (kulia).
Msanii wa Bongo Muvi Kajala akifuatilia shoo kwa karibu zaidi.
Washindi wa Dance la Fiesta wakikabidhiwa zawadi Sh. milioni moja na Mkuu wa Wilaya, Halima Omar Dendegu.
SOURCE: GLOBAL PUBLISERS

Post a Comment