Mahakama Kenya yatupilia mbali kesi zilizopinga ushindi wa Kenyatta
Mahakama ya Juu Kenya imetupilia
mbali kesi mbili zilizokuwa zimewasilishwa kupinga uchaguzi wa marudio,
na hivyo imeidhinisha ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta.
“Uchaguzi wa 26 Oktoba umedumishwa, sawa na ushindi wa Bw Kenyatta. Kila upande utasimamia gharama yake,” amesema.
Uamuzi wa kina utatolewa katika kipindi cha siku 21.
Post a Comment