Kesi Yamkosesha Usingizi Wema
ST A A mwenye nyota kali Bongo, Wema Sepetu, amefunguka kuwa hakuna kitu kinachomnyima usingizi kila siku kama kesi yake ambayo inamkabili hivi sasa ya kudaiwa kujihusisha na matumizi ya madawa ya kulevya.
Akichonga na K i l i n g e , Wema alisema: “Yaani kiukweli kabisa kesi inaninyima sana usingizi jamani, nakosa amani na wakati mwingine hata ukitaka kubadilisha hali ya hewa nje ya nchi haiwezekani, inaumiza sana.”
Post a Comment