Meya wa Dar Akabidhi Ndinga za EFM Kwa Washindi
Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita akijiandaa kukabidhi magari hayo kwa washindi
Mwita (katikati) akitoa pongezi zake kwa washindi Kutoka Kulia ni Meneja mkuu Dennis Busulwa, Mshindi (Michael Peter), akifuatiwa na Mshindi Joyce Daniel pamoja na Rukia Mtingwa Meneja masoko Zantel.
Washindi wa shindano hilo wakiwa wameshikilia kadi za gari Kutoka kulia ni Michael Peter na Joyce DanielWashindi wa shindano hilo wakiwa wameshikilia kadi za gari Kutoka kulia ni Michael Peter na Joyce Daniel
Shamla Shamla zikiendelea.
Mwita (katikati) akitoa pongezi zake kwa washindi Kutoka Kulia ni Meneja mkuu Dennis Busulwa, Mshindi (Michael Peter), akifuatiwa na Mshindi Joyce Daniel pamoja na Rukia Mtingwa Meneja masoko Zantel.
Washindi wa shindano hilo wakiwa wameshikilia kadi za gari Kutoka kulia ni Michael Peter na Joyce DanielWashindi wa shindano hilo wakiwa wameshikilia kadi za gari Kutoka kulia ni Michael Peter na Joyce Daniel
Shamla Shamla zikiendelea.
Wasindikizaji wa mshindi Michael Peter kutoka salasala
Meya wa Jiji la Dar es Salaam,Isaya Mwita
Charles jana amekabidhi rasmi magari mawili aina ya Suzuki Carry maarufu
kama (Kirikuu) kwa washindi wa shindano la shika ndinga linaloandaliwa
na kuendeshwa na kituo cha utangazaji cha EFM redio, washindi
waliopatikana katika fainali iliyofanyika tarehe sita mwezi wa tano
mwaka huu katika viwanja vya Tanganyika Packers Kawe Jijini Dar es
Salaam.





Post a Comment