Staa 'the big name' wa Bongo Fleva ndani na nje ya Bongo, Diamond Platnumz na Staa wa Instagram Madam, Mange Kinambi wametifuana kisa kipo hapa
mangekimambi_Nimedelete upupu mwingine aliokuwa kaandika iko nipate space ya kumjibu... . . We
pumbu unatumika vibayaaaaaa. Hiyo kitu ya kuwatishia watanzania na vita
sijui ukosefu wa amani CCM washamitumia Hiyo for many years kuwatisha
watanzania . . Repost @diamondplatnumz with #repostapp hivyo
tusikubali tu kulishwa Sumu za kuleta ugomvi kati yetu wenyewe kwa
wenyewe eti Mara Tutukane mara sijui fanyeni hiki, wakati hata baadhi ya
wanaochochea mambo hayo hawaishi Tanzania wanaishi Ulaya / Marekani /
kifupi nje ya nchi...ikija kutokea bahati mbaya kimenuka wao watakuwa
wanakula kuku kwa mrija huko walipo...halafu sisi na familia zetu ndio
tutateseka na kuhaha kunusuru roho zetu usiku kucha.. Hatutaki makelele
ya Uchonganishi mitandaoni, kama mtu kweli anauchungu na nchi na kweli
akisemacho anamaanisha aje, na kwa pamoja twende sehemu husika kupeleka
malalamiko sio kukaa kitandani kupost kuchochea Ugomvi kumbe anatuchora
na kutufanya kama sie mataahira wake, anatupeleka mara kushoto mara
kulia... Akikaa pekeake anatucheka kuwa sie
Post a Comment