Matokeo ya Ligi Kuu Uingereza, Leicester waongoza ligi hiyo kwa kishindo!
Leicester wanaongoza msimamo wa Ligi Kuu Uingereza baada ya kupata
ushindi wa 3-0 dhidi ya Swansea. Arsenal, waliopata ushindi wa 3-1
nyumbani dhidi ya Sunderland wanashikilia nafasi ya pili wakifuatwa na
Manchester City ambao wamekubali kulala 2-0 ugenini Stoke City.
Lecester wana alama 32, Arsenal 30, Man City 29 na Man Utd alama 29.
Haya hapa matokeo kamili:
Lecester wana alama 32, Arsenal 30, Man City 29 na Man Utd alama 29.
Msimamo wa ligi EPL | ||||
---|---|---|---|---|
Namba | Klabu | Mechi | Mabao | Alama |
1 | Leicester | 15 | 11 | 32 |
2 | Arsenal | 15 | 14 | 30 |
3 | Manchester City | 15 | 14 | 29 |
4 | Manchester United | 15 | 10 | 29 |
5 | Tottenham | 15 | 13 | 26 |
6 | West Ham | 15 | 4 | 23 |
7 | Liverpool | 14 | 3 | 23 |
- Stoke 2-0 Man City
- Arsenal 3-1 Sunderland
- Man Utd 0-0 West Ham
- Southampton 1-1 Aston Villa
- Swansea 0-3 Leicester
- Watford 2-0 Norwich
- West Brom 1-1 Tottenham
Post a Comment