ad

ad

Matokeo ya Ligi Kuu Uingereza, Leicester waongoza ligi hiyo kwa kishindo!

Leicester wanaongoza msimamo wa Ligi Kuu Uingereza baada ya kupata ushindi wa 3-0 dhidi ya Swansea. Arsenal, waliopata ushindi wa 3-1 nyumbani dhidi ya Sunderland wanashikilia nafasi ya pili wakifuatwa na Manchester City ambao wamekubali kulala 2-0 ugenini Stoke City.
Lecester wana alama 32, Arsenal 30, Man City 29 na Man Utd alama 29.
Msimamo wa ligi EPL
Namba Klabu Mechi Mabao Alama
1 Leicester 15 11 32
2 Arsenal 15 14 30
3 Manchester City 15 14 29
4 Manchester United 15 10 29
5 Tottenham 15 13 26
6 West Ham 15 4 23
7 Liverpool 14 3 23
Haya hapa matokeo kamili:
  • Stoke 2-0 Man City
  • Arsenal 3-1 Sunderland
  • Man Utd 0-0 West Ham
  • Southampton 1-1 Aston Villa
  • Swansea 0-3 Leicester
  • Watford 2-0 Norwich
  • West Brom 1-1 Tottenham
Powered by Blogger.