ad

ad

MADAME RITHA ‘ABAMBWA’ AKING’ARISHWA NA ‘DADA D’



 MWANADADA maarufu kwa kuwapamba masupastaa wa Bongo aitwaye Diana maarufu kama ‘Dada D’  ambaye ni mmiliki wa saluni maarufu ya American Nails iliyopo Kinondoni jijini Dar es Salaam,hivi karibuni alibambwa na kamera yetu maeneo ya Kawe Beach wakati akimpamba Jaji Mkuu wa shindano la kutafuta waimbaji bora nchini lijulikanalo kama  Bongo Star Sarch (BSS) wakati akijiandaa na  shoo ya shindano hilo.





Powered by Blogger.