ISSA HAYATOU AWEKA REKODI YA KUWA RAIS MWEUSI WA KWANZA WA FIFA
![]() |
| HAYATOU AKIWA NA MALINZI |
Rais wa Shirikisho
la Soka la Afrika (Caf), Issa Hayatou ndiye Rais wa Shirikisho la Soka la
Kimataifa (Fifa).
Hayatou amechukua
nafasi ya Sepp Blatter ambaye amesimamishwa kwa siku 90.
Pamoja na Blatter,
Rais wa Uefa, Michel Platini naye amekumbana na sakata hilo.
Hivyo, Hayatou anakuwa Rais wa Fifa wa muda na kuweka rekodi ya kuwa Mwafrika wa kwanza kukalia nafasi hiyo.

Post a Comment