TOROJO BAMIA (Winga teleza) - 19
“Shuuuukuuu aashiii, unajuaaa, Shuku unajuaaa.
Shuku niliota kutu kupakwa shombo na MJ leo chuma kimapata msasa safishaaa
mpenziii.”
Lily alilalama huku akiiachia nyonga izungumze
na Shuku naye alikuwa amemisi maini ya Lily kwa muda mrefu mwiko ulifanya kazi ya kuyageuza kwa mahiri mkubwa.
Alijigeuzia atakavyo, mpaka wanakwenda mapumziko Lily alikuwa ndwembwendembwe.
Baada ya mpambano wa kukata na shoka Lily
aliangua kilio kilichomshtua Shuku.
“Lily unalia nini?”
“Kwa nini ulinidanganya?”
“Kukudanganya kivipi?”
“Kwa nini hukuniambia ukweli mwanzo wa penzi
letu?”
“Nilijua nitakukosa, Lily nilikuwa nakupenda
sana.”
“Kwa hiyo sasa hivi unipendi?”
“Narudi mimi na wewe nani hampendi mwenzake?”
“Wewe.”
“Nani aliyemsaliti mwenzake?”
“Wewe.”
“Kwa nini?”
“Hakuniambia ukweli kitu kilichosababisha
niyaamini maneno ya MJ.”
“Kwa nini ulimuamini?”
“Mitego niliyokutega ndiyo iliyokunasa, kwa
hiyo yote aliyoniambia niliyaamini. Ona raha hizi nilizipoteza Shuku nazidi
kukulaumu kunidanganya.”
“Sasa kama uliyaamini tatizo nini?”
“Nimegundua MJ si mkweli mgombanishi kupitia
fedha zake. Shuku yote umesababisha wewe,” Lily aliendelea kumlaumu Shuku.
“Lakini uli...”
“Shuku usiseme lolote kila siku nitakulaumu
wewe.”
“Basi yamekwisha.”
“Shuku unanipenda?”
“Zaidi ya kukupenda.”
“Naomba usinidanganye ili nami nidumu kwenye
penzi lako. Mimi si mpenda fedha kama unavyodhani bali naogopa kudanganywa.”
“Nimekuelewa mpenzi wangu.”
“Kama umenielewa nipe haki yangu.”
Shuku hakuwa na hiyana kwani hata yeye aliumia kuachwa na
Lily mwanamke ambaye kwake ndiye aliyekuwa chaguo la moyo wake. Kazi ikawa
bandika bandua kila mmoja alitaka kuonyesha anajua mapenzi mpaka raha ikageuka
karaha na kuamua kupumzika wakiwa hoi.
***
Penzi lilirudi kwa kasi huku Lily akimganda Shuku kama
luba ili kuhakikisha hampotezi. Baada ya muda Lily aliuza nyumba na kuhamia kwa
Shuku kujipanga na ndoa yao. Kila kitu kilikwenda kama kilivyopangwa. Siku
ilipofika ilifungwa harusi ya kifahari huku MJ akichangia kwa kiasi kikubwa na
siku ya harusi aliitumia kuomba msamaha kwa maharusi.
Shuku hakuwa na hiyana na rafiki yake alimsamehe huku
akimpa onyo akimfuata tena mkewe atamteremsha mshipa. MJ alimwambia rafiki yake
kuwa kuoa kwake kumpa fundisho kubwa hivyo naye aliamua kumtafuta mwanamke
mmoja na kufunga naye ndoa kuanza maisha mapya.
Mpaka sasa hivi maisha yanakwenda Shuku na Lily wana
mtoto mmoja na mke wa MJ anakula maembe mabichi na mate yanamjaa mdomoni.
MWISHO
KAMA ULIKOSA SEHEMU ZA NYUMA SOMAHAPA
SOMA SEHEU YA KWANZA >>>www.2jiachie.com/2014/06/torojo-bamia-winga-teleza-01.html
SEHEMU YA 2: ==>www.2jiachie.com/2014/06/torojo-bamia-winga-teleza-02.html
SEHEMU YA 3:==>www.2jiachie.com/2014/06/torojo-bamia-winga-teleza-03.html
SEHEMU YA 4:==>www.2jiachie.com/2014/06/torojo-bamia-winga-teleza-04.html
SEHEMU YA 5==>www.2jiachie.com/2014/06/torojo-bamia-winga-teleza-05.html
SEHEMU YA 6: ==>www.2jiachie.com/2014/06/torojo-bamia-winga-teleza-06.html
SEHEMU YA 7==>www.2jiachie.com/2014/06/torojo-bamia-winga-teleza-07.htm
SEHEMU YA 8==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-08.html
SEHEMU YA 9==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-09.html
SEHEMU YA 10 ==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-10.html
SEHEMU YA 11 ==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-11.html
SEHEMU YA 12 ==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-12.html
SEHEMU YA 13 ==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-13.html
SEHEMU YA 14 ==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-14.html
SEHEMU YA 15 ==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-15.html
SEHEMU YA 16 ==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-16.html
SEHEMU YA 17 ==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-17.html
:
SOMA SEHEU YA KWANZA >>>www.2jiachie.com/2014/06/torojo-bamia-winga-teleza-01.html
SEHEMU YA 2: ==>www.2jiachie.com/2014/06/torojo-bamia-winga-teleza-02.html
SEHEMU YA 3:==>www.2jiachie.com/2014/06/torojo-bamia-winga-teleza-03.html
SEHEMU YA 4:==>www.2jiachie.com/2014/06/torojo-bamia-winga-teleza-04.html
SEHEMU YA 5==>www.2jiachie.com/2014/06/torojo-bamia-winga-teleza-05.html
SEHEMU YA 6: ==>www.2jiachie.com/2014/06/torojo-bamia-winga-teleza-06.html
SEHEMU YA 7==>www.2jiachie.com/2014/06/torojo-bamia-winga-teleza-07.htm
SEHEMU YA 8==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-08.html
SEHEMU YA 9==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-09.html
SEHEMU YA 10 ==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-10.html
SEHEMU YA 11 ==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-11.html
SEHEMU YA 12 ==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-12.html
SEHEMU YA 13 ==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-13.html
SEHEMU YA 14 ==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-14.html
SEHEMU YA 15 ==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-15.html
SEHEMU YA 16 ==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-16.html
SEHEMU YA 17 ==>www.2jiachie.com/2014/07/torojo-bamia-winga-teleza-17.html
:

Post a Comment