BAADA YA KADINDA, WEMA AMSHUSHIA MABUSU MTANGAZAJI
UTAMU kolea! Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ametengeneza kichwa
cha habari
kwa mara
nyingine baada ya picha inayomuonesha akimshushia mabusu Mtangazaji wa
East Africa Television ‘EATV’, Tonny Albert ‘T-bway 260’ kunaswa.
Picha hiyo ambayo inasemekana imepigwa hivi karibuni ni ya kawaida lakini baadhi ya
mashabiki wa Wema walidai kuwa anataka kutibua mambo kwa Nasibu Abdul ‘Diamond
Platnumz.
Hivi karibuni, picha ya Wema akimshushia mabusu meneja wake, Martin Kadinda nayo
ilizagaa mtandaoni, hivyo watu wengi kuamini kuwa msanii huyo anapenda kitendo hicho.
kwa mara
nyingine baada ya picha inayomuonesha akimshushia mabusu Mtangazaji wa
East Africa Television ‘EATV’, Tonny Albert ‘T-bway 260’ kunaswa.
Picha hiyo ambayo inasemekana imepigwa hivi karibuni ni ya kawaida lakini baadhi ya
mashabiki wa Wema walidai kuwa anataka kutibua mambo kwa Nasibu Abdul ‘Diamond
Platnumz.
Hivi karibuni, picha ya Wema akimshushia mabusu meneja wake, Martin Kadinda nayo
ilizagaa mtandaoni, hivyo watu wengi kuamini kuwa msanii huyo anapenda kitendo hicho.


Post a Comment