DIAMOND PLATINUMZ, HAMISA MOBETO WANADAIWA KUWA WAPENZI
Hamisa
Hassan Mobeto ambaye ni model na actress anayesusua katika tasnia ya
filamu nchini anadaiwa kuwa mapenzini na Diamond Platinumz a.k.a Sukari
ya warembo huku uhusiano wao ukidaiwa kuwa wa muda mrefu tu ila
wamefanya kuwa siri.
Hamisa
Hassan Mobeto.
Chanzo kimoja kilichodai kuwa karibu na Hamisa
ambaye alishawahi kushiriki Miss Tanzania kiliuambia mtandao huu "Hivi
mnajua kuwa Diamond anawachanganya kwa wakati mmoja Wema na Hamisa
Mobeto?, Hamisa na Diamond ni wapenzi muda sasa but wanafanya siri,
Hamisa anamwangalia tu Wema akiwewesekea penzi la Diamond huku yeye
akijilia vyake".
Hamisa alipotafutwa na mtandao huu ili kutolea ufafanuzi madai hayo hakuweza kupatikana.
Hamisa alipotafutwa na mtandao huu ili kutolea ufafanuzi madai hayo hakuweza kupatikana.





Post a Comment