ad

ad

Bodi ya Ligi yaionya Yanga

Dar es Salaam. 
Bodi ya Ligi Kuu imewapiga mkwara uongozi na wanachama wa Klabu ya Yanga kutothubutu kufanya hujuma kwenye mitambo ya Kituo cha Televisheni cha Azam.
Mkurugenzi wa Bodi hiyo, Silas Mwakibinga alisema kuwa atakayehusika kwa namna yoyote kufanya vurugu au hujuma, hatua kali zitachukuliwa dhidi yake.
Mwakibinga alisema vyombo vya usalama vimejiandaa kutoa ulinzi mkali uwanjani hapo na kwamba wataofanya vurugu watakamatwa na kufikishwa mahakamani.
Powered by Blogger.