Wema Sepetu: Sijawai toka kimapenzi na Mkongo
Apocalypse Bella anayedaiwa kutoka na Wema Sepetu.

Staa wa Bongo, Wema Isaac Sepetu.
Alichokijibu Staa wa Bongo, Wema Isaac Sepetu baada ya kudaiwa kutoka kimapenzi na mwanamme Mkongo anayejulikana Instagram kwa jina la Apocalypse Bella .
"
Sijawahi na sitowahi kuwa na mwanaume Mcongo wa aina yoyote ile... Sasa
nashangaa watu wameona mimi ndo daraja la kuwapa umaarufu... Im
Tired... Huyo apocalypse sijui kitu gani aint my man... I only know him
as a friend... So please guys.... Niacheni kidogo tafadhal...
Alam-siq...!!!

And ontop of all dat I think u all know me by now nikiwa na mtu
sijivungi kumtangaza maana huwa I live to please my heart... Mwanaume
wangu nadhani anajulikana... Sasa endeleeni kumpa huyo baba attention
sababu yeye nako naona kashaona ni kamchezo kakupatia followers... Na
nyie mnampa airtime ya kutosha.... So anaendelea... Ananiudhi na mimi
kiukweli hadi napata hasira... But nakaa tu kimya... This is too much
now...!


And ontop of all dat I think u all know me by now nikiwa na mtu
sijivungi kumtangaza maana huwa I live to please my heart... Mwanaume
wangu nadhani anajulikana... Sasa endeleeni kumpa huyo baba attention
sababu yeye nako naona kashaona ni kamchezo kakupatia followers... Na
nyie mnampa airtime ya kutosha.... So anaendelea... Ananiudhi na mimi
kiukweli hadi napata hasira... But nakaa tu kimya... This is too much
now...!

Post a Comment