ad

ad

Nyisangah kuagwa kesho jijini Dar‏

Mwili wa marehmu Julius Nyaisanga Ancle J aliyefariki dunia jana unatarajia kuagwa leo majira ya saa 11 nyumbani kwake Kihonda Viwandani ambapo baada ya ibaka hii ya kumuombea marehmu kukamilika.
Mwili wa Ancle J utasafirishwa  leo majira ya saa 12 jioni  kueleka jijini Dar es salaam ambako kesho wananachi wa jiji hilo watapata fursa pia ya kumuaga Ancle J na kesho hiyo hiyo mwili huo utasafirishwa kwa ndege kwenda Tarime kwa mazishi.
Kabla ya kufioka maamuzi hayo wawakilishi kutoka wiraza ya habari na micheo na utamaduni pamoja na ujumbe kutoka l.t.v waliketi kikao na familia ya mrehemu na uongozi wa Abood Media na kukubaliano kwa pamoja kutoa fursa kwa wananachi ya Dar es salaama ambako Ancle J ameishi na kufanya kazi kwa muda mrefu wapate pia fursa ya kuaga mwili wa marehemu
Baadhi ya vigogo kutoka ltv ni pamoja na Misanya Bigi mwenye koti jeusi,na Nesto

Powered by Blogger.