ILIVYOKUWA HUKO COCO BEACH NA CHEKA NAO,FULL VISHINDO VYA MZIKI.
Mwimbaji wa bendi ya muziki wa
dansi ya Msondo Ngoma baba ya muziki Romario MngÃande akiwaongoza
waimbaji wenzake wakati wa tamasha la ChekaNao liliandaliwa na Vodacom
Tanzania ikiwa ni mahususi kwa ajili ya kusherehekea sikukuu ya
wafanyakazi Mei mosi hapo juzi na kufanyika katika ufukwe wa Coco Beach
jijini Dar es Salaam.
Post a Comment