ad

ad

Kim Kardashian aelezea hali anayokutana nayo baada ya kubeba mtoto wa Kanye West tumboni, “bado sio kitu rahisi..”

Kanye West & Kim Kardashian
Habari za mrembo Kim Kardashian kuwa na ujauzito zili-make headline sana kwenye mitandao mbalimbali, ikiwa ni ujauzito wa kwanza kwa mrembo huyo ambao ameupata kwa boyfriend Kanye West ambae amekuwa akielezea hisia zake za ndani kwa mrembo huyo publically na hata kwenye mistari yake ya nyimbo.
K.K mwenye ujauzito wa miezi mitatu amefunguka kuhusu mabadiliko ya mwili wake baada ya kumbeba mtoto wa wa Kanye West tumboni kwa miezi mitatu hivi sasa. Mwanamitindo kutoka the Kardashian amesema bado hajajisikia kuwa na homa za asubuhi hadi sasa, dalili ambazo wanawake wajawazito hukutana nazo, na kwamba bado anajizoeza hali mpya ya mwili wake.


“nimejisikia vizuri. Sijaugua homa za asubuhi hadi sasa, lakini bado sio kitu rahisi sana,” alifunguka Kim K alipokuwa amhudhuria party ya kufunga mwaka huko Las Angeles katika 10AK night club, usiku wa mwaka mpya.
Ameonekana kuenjoy hali yake ya ujauzito wa kwanza kwa kipindi hiki cha miezi mitatu, na amesema huwa anasikia watu wanasema ni rahisi and it’s fun, lakini yeye anasema sio rahisi sana, “It’s definitely an adjustment leaning about your body and stuff like that,” alifunguka Kim Kardashian na kukazia, ‘nimekuwa najisikia vizuri, vizuri kweli.”

No comments

Powered by Blogger.