Mfanyabiashara
maarufu na mwanamitandao anayefahamika kwa jina la Niffer ameibua
mjadala mkubwa mitandaoni baada ya kushare ujumbe mzito wa kuhamasisha
watu kujiamini, kujithamini na kufanya maamuzi magumu bila kuogopa
maneno ya watu.
Kupitia akaunti yake ya Instagram, Niffer aliandika maneno yaliyogusa hisia za wengi:
“Endelea
kushindwa kuchukua maamuzi magumu kwenye maisha yako kisa watu
watanionaje!! Kama ukijifunika shuka unalala nao shuka moja basi sawa ❤️ Ila kama unakua mwenyewe, baby, JUST OWN YOUR LIFE. Nobody really cares about your well being than you. CHOOSE YOU 📌”
Ujumbe
huo ulisambaa kwa kasi na kuvuta maoni mengi kutoka kwa wafuasi wake,
hasa vijana wanaokabiliwa na presha za jamii na hofu ya kuhukumiwa
wanapojaribu kufanya maamuzi binafsi.
Post a Comment