ad

ad

Madiwani Wawili Chadema Wajiunga CCM Arusha


Madiwani wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Arusha waliohama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM).

MADIWANI wawili wa Chama cha Demokrasia cha Maendeleo (Chadema) mmoja wa kata ya Daraja Mbili,  Prosper Msofe na Diwani wa kata ya Terrat,  Obeid Meng’oriki,   wamejiuzulu na kutangaza kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kile walichoeleza kuwa  ni kuunga mkono juhudi za Rais John Magufuli.

No comments

Powered by Blogger.