KADINDA KIGUGUMIZI PENZI LA WEMA, DIAMOND
Wema na Diamond.
Akizungumza na Amani, Kadinda alipata kigugumizi hicho baada ya kuulizwa endapo mastaa hao watarudisha mapenzi atalichukuliaje suala hilo ambapo alishindwa kufafanua badala yake aliishia kuguna na kuomba kama kuna swali lingine aulizwe.
Martin Kadinda.
Wema anatajwatajwa kurudisha ‘majeshi’ kwa Diamond baada ya hivi karibuni, mzazi mwenziye Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kutangaza kummwaga Diamond.
Stori: Imelda Mtema.
Post a Comment