ad

ad

Amber Lulu Ateka Mashabiki Dar Live

Msanii na Video Queen, Amber Lulu,  akifanya yake kwenye Tamasha la Full Dozi litakalofanyika usiku wa kuamkia leo ndani ya Uwanja wa Kimataifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar.…Akiendelea kufanya yake.…Akikata mauno mbele ya mashabiki zake.…Akiongea na mashabiki zake akiwa katika mkao wa aina yake.
Msanii wa Bongo Fleva na Video Queen, Amber Lulu  usiku wa kuamkia leo amewateka mashabiki  kwenye Tamasha la Full Dozi lililofanyika usiku wa kuamkia leo ndani ya Uwanja wa Kimataifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar.

No comments

Powered by Blogger.