ad

ad

SIMBA YAWAPIGA MTIBWA SUGAR TAIFA BAO 1-0



KIKOSI cha Simba leo kimeendeleza ubabe kwa kuichapa Mtibwa Sugar kwa bao 1-0 katika mchezo wa kirafiki ulipopigwa Uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam. 

Goli lilifungwa na winga wa Simba Emmanuel Okwi baada ya kupokea pasi ilinyooka kutoka kwa John Boko katika shambulizi lililotokea langoni mwa Mtibwa.

Hata hivyo timu hizo ziliendelea kushambuliana mpaka mwisho wa Mtibwa walikubali kulala kwa bao hilo


Powered by Blogger.