ad

ad

A-Z Picha Wema na Idris Walivyoibuka wakishikana mikono Mlimani City

TUJIUNGE MLIMANI CITY
Wema na Idris walionesha hadharani kuwa penzi lao bado lipo gado na ndiyo kwanza kama linaanza, wakati wa uzinduzi wa sinema mpya ya bishosti huyo inayokwenda kwa jina la Heaven Sent kwenye Ukumbi wa Cinemax, Mlimani City jijini Dar, usiku wa kuamkia jana. 

 Awali, kulikuwa na ukimya fulani, lakini ghafla ukumbi huo ulilipuka kwa shangwe na mshangao baada ya kumuona Wema akiingia na Idris huku wakiwa wameshikana mikono kama ‘bibi na bwana’. Kuna wakati Idris alimkamatia Wema kiuno hadi mama wa bidada huyo, Mariam Sepetu akawa anawashangaa kama vile hakutarajia kuona mahaba niue ya wawili hao.






















No comments

Powered by Blogger.