ad

ad

Breaking News: IGP Simon Sirro Ateuliwa na Rais Kuwa Mkuu wa Polisi Nchini


Aliyekuwa Kamishna wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Simon Sirro.

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli leo tarehe 28 Mei, 2017 amemteua Kamishna wa Polisi Simon Sirro kuwa Mkuu wa polisi (IGP).

Kabla ya Uteuzi huo IGP Simon Sirro alikuwa Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam

IGP simon Sirro amechukua nafasi ya Ernest Mangu ambaye atapangiwa kazi nyingine.



    Aliyekuwa Mkuu wa Polisi (IGP), Ernest Mangu.


No comments

Powered by Blogger.