ad

ad

VIDEO: MZEE WA UPAKO AMSIFIA MAGUFULI KANISANI KWAKE



DAR ES SALAAM: Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) Anthony Lusekelo ‘Mzee wa Upako’ ame­tumia ibada aliyoifanya kanisani kwake, Ubungo-Kibangu jijini Dar kamsifia Rais  Magufuli na kusema aendelee hivyo hivyo kuwatetea watanzania masikini.

No comments

Powered by Blogger.