ad

ad

Chuchu ajifungua kidume Hosptali ya Taifa ya Muhimbili




STAA wa filamu Bongo, Chuchu Hans, hatimaye amejifungua mtoto wa kiume katika Hosptali ya Taifa ya Muhimbili,  akiwa mwanamke wa kwanza kumpatia muigizaji mkubwa kiume  Vincet Kigosi ‘Ray’, mtoto.

Akizungumza na 2jiachie.com, ndugu wa karibu na mastaa hao alithibitisha kujifungua kwa Chuchu na kusema kuwa ujio wa mtoto huyo ambaye wamempa jina la kwanza la Vincent Junior, kuwa ameleta furaha kubwa kwa  Ray.

“Yaani Ray, alikuwa Zanzibar kwa ajili ya kungalia mpira lakini alipopata habari hiyo alionekana mwenye furaha sana huku baadhi ya mastaa wenzake wakimpongeza,” alisema ndugu  huyo.

No comments

Powered by Blogger.