Magazeti ya Tanzania Leo Jumapili ya July 3, 2016...Sinema mpya panga pangua wakuu wa Wilaya
Kada aliyeteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Ally Muswanya ameachia wadhifa huo hata kabla ya kuapishwa.
Wakati
uteuzi wa makada watatu wa kwanza ulisahihishwa na Ikulu, Maswanya
hajaibuka kwenye hafla ya kiapo na tayari mtu mwingine amekwenda kuziba
nafasi yake. BONYEZA HAPA KUSOMA















Post a Comment