Najua kuna
watu wangu hawapendi kabisa kupitwa na updates za mastaa wao wa bongo,
basi hii pia yaweza kuwa inakuhusu zaidi isikupite kama wewe ni
mmojawapo. Mdundo unaitwa ‘Nakuchana‘ unamilikiwa na Ben Pol ft Jux
kolable ya wakali ben pol na jux mbona kama niliiota hv? kumbe kchwa changu kina maono mwishoe imekua kweli. sasa nijipange kuota kuusu kolabo ya fid q na diamond bhana hahahaaa. am done!
kolable ya wakali ben pol na jux mbona kama niliiota hv? kumbe kchwa changu kina maono mwishoe imekua kweli. sasa nijipange kuota kuusu kolabo ya fid q na diamond bhana hahahaaa.
ReplyDeleteam done!