ad

ad

Shamsa kuifufua bongo muvi

shamsa
STAA wa filamu Bongo, Shamsa Ford.
STAA wa filamu Bongo, Shamsa Ford ameibuka na kudai anawaongoza wenzake katika harakati za kuifufua tasnia hiyo iliyopoteza mwelekeo baada ya wasanii kujiingiza katika siasa mwaka uliopita.
Akisto risha na paparazi wetu, Shamsa alisema ili kufanikisha suala hilo anafanya kazi kwa nguvu zote kwani sanaa hiyo imepotea na wala haitikisi kwenye akili za watu kama ilivyokuwa kabla ya kampeni za uchaguzi mkuu uliopita.
“Yaani niko bize sana mimi na wenzangu kuhakikisha tunairejesha tena
Bongo Muvi katika ubora wake maana kwa jinsi ilivyo ni kama iliyokufa,” alisema Shamsa.

No comments

Powered by Blogger.